Visit Sponsor

Written by 3:22 pm KITAIFA Views: 50

TRENI YA UMEME (SGR) YAANZA MAJARIBIO

Treni ya Umeme ya Kisasa ya (SGR) ikipita maeneo ya Pugu Jijini Dar es Salaam katika majaribio yake ya kawaida. Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeanza majaribio ya Treni hiyo ya SGR kutoka Mkoani Dar es Salaam hadi Mkoani Pwani na hivi karibuni itaendelea na majaribio hayo mpaka Mkoani Morogoro. Huduma rasmi za Usafiri huo zinatarajiwa kuanza Mwezi wa Julai, 2024.

About The Author

(Visited 50 times, 1 visits today)

Last modified: February 26, 2024

Close