Visit Sponsor

Written by 1:21 pm MICHEZO Views: 133

JENGO LA YANGA KUKARABATIWA

Mkurugenzi wa Wanachama wa timu hiyo Haji Mfikirwa anabainisha kuwa Klabu ya Yanga Sc imeingia makubaliano ya ushirika na kampuni ya rangi ya Robbialac kwaajili ya ukarabati wa jengo lao la Makao Makuu yaliyopo mitaa ya Twiga na Jangwani Dar es Salaam.

About The Author

(Visited 133 times, 1 visits today)

Last modified: May 30, 2023

Close